Waters of Life

Biblical Studies in Multiple Languages

Search in "Kiswahili":

Home -- Kiswahili -- Romans

This page in: -- Afrikaans -- Arabic -- Armenian -- Azeri -- Bengali -- Bulgarian -- Cebuano -- Chinese -- English -- French -- Georgian -- Greek -- Hausa -- Hebrew -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- Javanese -- KISWAHILI -- Malayalam -- Polish -- Portuguese -- Russian -- Serbian -- Somali -- Spanish -- Tamil -- Telugu -- Turkish -- Urdu -- Yiddish -- Yoruba

Previous Book? -- Next Book?

WARUMI - BWANA NDIYE HAKI au UADILIFU WETU

Masomo kuhusu Barua ya Paulo kwa Warumi

Jump to Chapter: 01 -- 02 -- 03 -- 04 -- 05 -- 06 -- 07 -- 08
Jump to Chapter: 09 -- 10 -- 11 -- 12 -- 13 -- 14 -- 15 -- 16


Ufunguzi Wa Barua: Salamu, Shukrani Kwa Mungu, Na Mkazo „Haki Ya Mungu” Kama Neno Kuu La Barua Hii (Warumi 1:1-17)
a) Tambulisho na Mbaraka wa kitume (Warumi 1:1-7)
b) Hamu ya muda mrefu ya Paulo atembelee Rumi (Warumi 1:8-15)
c) Uadilifu (haki) ya Mungu unaimarishwa na kutendeka ndani yetu kwa njia ya imani inayodumu (Warumi 1:16-17)
SEHEMU 1 - HAKI YA MUNGU INAHUKUMU WENYE DHAMBI WOTE NA KUJALIA HAKI PAMOJA NA KUWATAKASA WOTE WAMWAMINIO KRISTO (Warumi 1:18 - 8:39)
A - Ulimwengu Wote Umekaa Chini Ya Utawala Wa Yule Mwovu, Na Mungu Atahukumu Wote Kwa Uadilifu (Haki) (Warumi 1:18 - 3:20)
1. Ghadhabu ya Mungu dhidi ya mataifa imewekwa wazi (Warumi 1:18-32)

2. Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa dhidi ya Wayahudi (Warumi 2:1 - 3:20)
a) Awahukumuye wengine hujipatiliza mwenyewe (Warumi 2:1-11)
b) Sheria au dhamiri humhukumu mwanadamu (Warumi 2:12-16)
c) Mtu huokoka si kwa kufahamu, lakini kwa matendo (Warumi 2:17-24)
d) Kutahiriwa haina faida ya kiroho (Warumi 2:25-29)

e) Pendeleo kwa Wayahudi haiwaokoi na ghadhabu (Warumi 3:1-8)
3. Watu wote ni wapotovu na wenye hatia (Warumi 3:9-20)
B - Njia Mpya Ya Kuhesabiwa Haki Kwa Imani Iko Wazi Kwa Wanadamu Wote (Warumi 3:21 - 4:22)
1. Ufunuo wa njia hii mpya ya haki ya Mungu katika kifo cha Kristo cha kulipia (Warumi 3:21-26)
2. Tumehesabiwa haki kwa imani katika Kristo (Warumi 3:27-31)

3. Ibrahimu na Daudi wakiwa mifano ya kuhesabiwa haki kwa imani (Warumi 4:1-24)
a) Imani ya Ibrahimu ilihesabiwa kwake kuwa na haki (Warumi 4:1-8)
b) Mtu hahesabiwi haki kwa kutahiriwa (Warumi 4:9-12)
c) Tunahesabiwa haki kwa neema, wala si kwa sheria (Warumi 4:13-18)
d) Imani hodari ya Ibrahimu ni mfano wetu (Warumi 4:19-25)

C - Kuhesabiwa Haki inamaanisha Uhusiano mpya kwa Mungu na kwa Wanadamu (Warumi 5:1-21)
1. Amani, Tumaini na Upendo hutawala ndani ya Mwumini (Warumi 5:1-5)
2. Kristo aliyefufuka anakamilisha haki yake ndani yetu (Warumi 5:6-11)
3. Neema ya Kristo ulishinda kifo, dhambi, pia na sheria (au Torati) (Warumi 5:12-21)

D - Uwezo Wa Mungu Hutuokoa Na Nguvu Ya Dhambi (Warumi 6:1 - 8:27)
1. Mwumini hujifikiria mwenyewe kwamba, amefia dhambi (Warumi 6:1-14)
2. Uhuru kutoka kwa sheria inarahisisha ukombozi wetu na dhambi (Warumi 6:15-23)

3. Kufunguliwa na Sheria inatuweka huru kwa ajili ya huduma ya Kristo (Warumi 7:1-6)
4. Sheria humsukuma mtenda dhambi azidi kutenda dhambi (Warumi 7:7-13)
5. Mwanadamu bila Kristo kwa vyovyote anakosa mbele ya dhambi (Warumi 7:14-25)

6. Ndani ya Kristo mtu huondolewa dhambi, mauti na hukumu (Warumi 8:1-11)
7. Sisi tu watoto wa Mungu kwa ajili ya kuishi kwa Roho Mtakatifu ndani yetu (Warumi 8:12-17)
8. Mauguzi matatu ya kipekee (Warumi 8:18-27)
E - Imani yetu itadumu daima (Warumi 8:28-39)
1. Mpango wa ukombozi wa Mungu unatuahidi utukufu utakaofunuliwa (Warumi 8:28-30)
2. Ukweli wa Kristo unathibitisha ushirikiano wetu na Mungu mbali na matatizo yoyote (Warumi 8:31-39)

SEHEMU 2 - HAKI YA MUNGU HAISOGEI HATA BAADA YA WATOTOWA YAKOBO, WATEULE WAKE, KUFANYA MIGUMU MIOYO YAO (Warumi 9:1 - 11:36)
1. Mashaka ya Paulo kwa ajili ya watu wa taifa lake waliopotea (Warumi 9:1-3)
2. Mapendeleo ya kiroho ya hao watu waliochaguliwa na Mungu (Warumi 9:4-5)
3. Mungu anadumu kuwa mwenye haki, hata kama sehemu kubwa ya Waisraeli (Warumi 9:6-29)
a) Ahadi za Mungu hazihusiki na mbegu za asili za Ibrahimu (Warumi 9:6-13)
b) Mungu humchagua yule, ambaye anamrehemu, na mwingine atakavyo anamtia ugumu (Warumi 9:14-18)
c) Mfano wa mfinyanzi na chombo chake ni kwa ajili ya Wayahudi na Wakristo pia (Warumi 9:19-29)

4. Haki ya Mungu hupatikana tu kwa imani, wala si kwa kujaribu kutimiza sheria (Warumi 9:30 - 10:21)
a) Wayahudi hawakujali haki ya Mungu inayopatikana kwa imani, nao wananing‘inia kwenye matendo ya sheria (Warumi 9:30 - 10:3)
b) Uchokozi wa kasirisho la watu wa Israeli kwa sababu Mungu aliwarehemu zaidi kuliko watu wengine wowote (Warumi 10:4-8)
c) Ulazima kabisa wa ushuhuda wa Injili kwa ajili ya watoto wa Yakobo (Warumi 10:9-15)
d) Je, Israeli inawajibika kwa ajili ya kutokuamini kwao? ( Warumi 10:16-21)

5. Tumaini la watoto wa Yakobo (Warumi 11:1-36)
a) Baki takatifu lipo (au: linaendelea kuwepo) (Warumi 11:1-10)
b) Heri kwamba, wokovu katika waumini kutokana na watu wa Mataifa uchokoze wivu ndani ya watoto wa Yakobo (Warumi 11:11-15)
c) Onyo kwa waumini wa toka Mataifa wasiwe na kiburi juu ya watoto wa Yakobo (Waisraeli) (Warumi 11:16-24)
d) Siri ya ukombozi na wokovu wa watoto wa Yakobo siku za mwisho (Warumi 11:25-32)
e) Kuabudu kwake Mtume Paulo (Warumi 11:33-36)

SEHEMU 3 - HAKI YA MUNGU HUJIONYESHA MAISHANI MWA WAFUASI WA KRISTOS (Warumi 12:1 - 15:13)
1. Utakaso wa maisha yako hupatikana kwa kujitoa kabisa kwake Mungu (Warumi 12:1-2)
2. Usiwe na kiburi, bali umtumikie Bwana wako kwenye makundi ya waumini ukitumia vipawa ulivyojaliwa (Warumi 12:3-8)
3. Tunahitaji kujifunza upendo wa kindugu na kujizoeza sisi wenyewe katika hilo (Warumi 12:9-16)
4. Wapende adui na wapinzani wako (Warumi 12:17-21)

5. Uwe mtiifu kwa mamlaka iliyo juu yako (Warumi 13:1-6)
6. Jumlicho la sheria au amri za kuhusu watu (Warumi 13:7-10)
7. Matokeo halisi kutokana na ufahamu kwamba, Kristo atarudi tena (Warumi 13:11-14)

8. Masumbufu mahususi ya kanisa la Rumi (Warumi 14:1-12)
9. Usimkasirishe jirani yako kwa mambo yasiyo muhimu (Warumi 14:13-23)

10. Jinsi inavyowapasa walio imara kiimani kulinda mwenendo wao wakati wa matatizo ambayo hayakutazamiwa (Warumi 15:1-5)
11. Kristo alishinda tofauti zote kati ya waumini wa Wayahudi na wale waliotokana na Mataifa (Warumi 15:6-13)
Maongezo kwa SEHEMU ya 3 - Maelezo ya pekee juu ya msimamo wa Paulo kwa viongozi wa kanisa la Rumi (Warumi 15:14 – 16:27)
1. Kustahili kwake Paulo kwa kuandika waraka huu (Warumi 15:14-16)
2. Siri ya huduma ya Paulo (Warumi 15:17-21)
3. Matazamio ya Paulo katika safari zake (Warumi 15:22-33)

4. Orodha ya Paulo yenye majina ya watakatifu waliojulikana kwake katika kanisa la Rumi (Warumi 16:1-9)
5. Mwendeleo wa orodha ya Paulo ya watakatifu waliojulikana kwake ndani ya kanisa la Rumi (Warumi 16:10-16)
6. Onyo dhidi ya wadanganyi (Warumi 16:17-20)
7. Salamu kutoka kwa watenda kazi pamoja na Paulo (Warumi 16:21-24)
8. Wimbo wa Sifa ya Paulo, kama sehemu ya kufunga kwa waraka wake (Warumi 16:25-27)

www.Waters-of-Life.net

Page last modified on November 18, 2022, at 12:39 PM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)