Home
Links
Bible Versions
Contact
About us
Impressum
Site Map


WoL AUDIO
WoL CHILDREN


Bible Treasures
Doctrines of Bible
Key Bible Verses


Afrikaans
አማርኛ
عربي
Azərbaycanca
Bahasa Indones.
Basa Jawa
Basa Sunda
Baoulé
বাংলা
Български
Cebuano
Dagbani
Dan
Dioula
Deutsch
Ελληνικά
English
Ewe
Español
فارسی
Français
Gjuha shqipe
հայերեն
한국어
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
Кыргызча
Lingála
മലയാളം
Mëranaw
မြန်မာဘာသာ
नेपाली
日本語
O‘zbek
Peul
Polski
Português
Русский
Srpski/Српски
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
ไทย
Tiếng Việt
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Uyghur/ئۇيغۇرچه
Wolof
ייִדיש
Yorùbá
中文


ગુજરાતી
Latina
Magyar
Norsk

Home -- Kiswahili -- Romans

This page in: -- Afrikaans -- Arabic -- Armenian -- Azeri -- Bengali -- Bulgarian -- Cebuano -- Chinese -- English -- French -- Georgian -- Greek -- Hausa -- Hebrew -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- Javanese -- KISWAHILI -- Malayalam -- Polish -- Portuguese -- Russian -- Serbian -- Somali -- Spanish -- Tamil -- Telugu -- Turkish -- Urdu -- Yiddish -- Yoruba

Previous Book? -- Next Book?

WARUMI - BWANA NDIYE HAKI au UADILIFU WETU

Masomo kuhusu Barua ya Paulo kwa Warumi

Jump to Chapter: 01 -- 02 -- 03 -- 04 -- 05 -- 06 -- 07 -- 08
Jump to Chapter: 09 -- 10 -- 11 -- 12 -- 13 -- 14 -- 15 -- 16


Ufunguzi Wa Barua: Salamu, Shukrani Kwa Mungu, Na Mkazo „Haki Ya Mungu” Kama Neno Kuu La Barua Hii (Warumi 1:1-17)
a) Tambulisho na Mbaraka wa kitume (Warumi 1:1-7)
b) Hamu ya muda mrefu ya Paulo atembelee Rumi (Warumi 1:8-15)
c) Uadilifu (haki) ya Mungu unaimarishwa na kutendeka ndani yetu kwa njia ya imani inayodumu (Warumi 1:16-17)
SEHEMU 1 - HAKI YA MUNGU INAHUKUMU WENYE DHAMBI WOTE NA KUJALIA HAKI PAMOJA NA KUWATAKASA WOTE WAMWAMINIO KRISTO (Warumi 1:18 - 8:39)
A - Ulimwengu Wote Umekaa Chini Ya Utawala Wa Yule Mwovu, Na Mungu Atahukumu Wote Kwa Uadilifu (Haki) (Warumi 1:18 - 3:20)
1. Ghadhabu ya Mungu dhidi ya mataifa imewekwa wazi (Warumi 1:18-32)

2. Ghadhabu ya Mungu imedhihirishwa dhidi ya Wayahudi (Warumi 2:1 - 3:20)
a) Awahukumuye wengine hujipatiliza mwenyewe (Warumi 2:1-11)
b) Sheria au dhamiri humhukumu mwanadamu (Warumi 2:12-16)
c) Mtu huokoka si kwa kufahamu, lakini kwa matendo (Warumi 2:17-24)
d) Kutahiriwa haina faida ya kiroho (Warumi 2:25-29)

e) Pendeleo kwa Wayahudi haiwaokoi na ghadhabu (Warumi 3:1-8)
3. Watu wote ni wapotovu na wenye hatia (Warumi 3:9-20)
B - Njia Mpya Ya Kuhesabiwa Haki Kwa Imani Iko Wazi Kwa Wanadamu Wote (Warumi 3:21 - 4:22)
1. Ufunuo wa njia hii mpya ya haki ya Mungu katika kifo cha Kristo cha kulipia (Warumi 3:21-26)
2. Tumehesabiwa haki kwa imani katika Kristo (Warumi 3:27-31)

3. Ibrahimu na Daudi wakiwa mifano ya kuhesabiwa haki kwa imani (Warumi 4:1-24)
a) Imani ya Ibrahimu ilihesabiwa kwake kuwa na haki (Warumi 4:1-8)
b) Mtu hahesabiwi haki kwa kutahiriwa (Warumi 4:9-12)
c) Tunahesabiwa haki kwa neema, wala si kwa sheria (Warumi 4:13-18)
d) Imani hodari ya Ibrahimu ni mfano wetu (Warumi 4:19-25)

C - Kuhesabiwa Haki inamaanisha Uhusiano mpya kwa Mungu na kwa Wanadamu (Warumi 5:1-21)
1. Amani, Tumaini na Upendo hutawala ndani ya Mwumini (Warumi 5:1-5)
2. Kristo aliyefufuka anakamilisha haki yake ndani yetu (Warumi 5:6-11)
3. Neema ya Kristo ulishinda kifo, dhambi, pia na sheria (au Torati) (Warumi 5:12-21)

D - Uwezo Wa Mungu Hutuokoa Na Nguvu Ya Dhambi (Warumi 6:1 - 8:27)
1. Mwumini hujifikiria mwenyewe kwamba, amefia dhambi (Warumi 6:1-14)
2. Uhuru kutoka kwa sheria inarahisisha ukombozi wetu na dhambi (Warumi 6:15-23)

3. Kufunguliwa na Sheria inatuweka huru kwa ajili ya huduma ya Kristo (Warumi 7:1-6)
4. Sheria humsukuma mtenda dhambi azidi kutenda dhambi (Warumi 7:7-13)
5. Mwanadamu bila Kristo kwa vyovyote anakosa mbele ya dhambi (Warumi 7:14-25)

6. Ndani ya Kristo mtu huondolewa dhambi, mauti na hukumu (Warumi 8:1-11)
7. Sisi tu watoto wa Mungu kwa ajili ya kuishi kwa Roho Mtakatifu ndani yetu (Warumi 8:12-17)
8. Mauguzi matatu ya kipekee (Warumi 8:18-27)
E - Imani yetu itadumu daima (Warumi 8:28-39)
1. Mpango wa ukombozi wa Mungu unatuahidi utukufu utakaofunuliwa (Warumi 8:28-30)
2. Ukweli wa Kristo unathibitisha ushirikiano wetu na Mungu mbali na matatizo yoyote (Warumi 8:31-39)

SEHEMU 2 - HAKI YA MUNGU HAISOGEI HATA BAADA YA WATOTOWA YAKOBO, WATEULE WAKE, KUFANYA MIGUMU MIOYO YAO (Warumi 9:1 - 11:36)
1. Mashaka ya Paulo kwa ajili ya watu wa taifa lake waliopotea (Warumi 9:1-3)
2. Mapendeleo ya kiroho ya hao watu waliochaguliwa na Mungu (Warumi 9:4-5)
3. Mungu anadumu kuwa mwenye haki, hata kama sehemu kubwa ya Waisraeli (Warumi 9:6-29)
a) Ahadi za Mungu hazihusiki na mbegu za asili za Ibrahimu (Warumi 9:6-13)
b) Mungu humchagua yule, ambaye anamrehemu, na mwingine atakavyo anamtia ugumu (Warumi 9:14-18)
c) Mfano wa mfinyanzi na chombo chake ni kwa ajili ya Wayahudi na Wakristo pia (Warumi 9:19-29)

4. Haki ya Mungu hupatikana tu kwa imani, wala si kwa kujaribu kutimiza sheria (Warumi 9:30 - 10:21)
a) Wayahudi hawakujali haki ya Mungu inayopatikana kwa imani, nao wananing‘inia kwenye matendo ya sheria (Warumi 9:30 - 10:3)
b) Uchokozi wa kasirisho la watu wa Israeli kwa sababu Mungu aliwarehemu zaidi kuliko watu wengine wowote (Warumi 10:4-8)
c) Ulazima kabisa wa ushuhuda wa Injili kwa ajili ya watoto wa Yakobo (Warumi 10:9-15)
d) Je, Israeli inawajibika kwa ajili ya kutokuamini kwao? ( Warumi 10:16-21)

5. Tumaini la watoto wa Yakobo (Warumi 11:1-36)
a) Baki takatifu lipo (au: linaendelea kuwepo) (Warumi 11:1-10)
b) Heri kwamba, wokovu katika waumini kutokana na watu wa Mataifa uchokoze wivu ndani ya watoto wa Yakobo (Warumi 11:11-15)
c) Onyo kwa waumini wa toka Mataifa wasiwe na kiburi juu ya watoto wa Yakobo (Waisraeli) (Warumi 11:16-24)
d) Siri ya ukombozi na wokovu wa watoto wa Yakobo siku za mwisho (Warumi 11:25-32)
e) Kuabudu kwake Mtume Paulo (Warumi 11:33-36)

SEHEMU 3 - HAKI YA MUNGU HUJIONYESHA MAISHANI MWA WAFUASI WA KRISTOS (Warumi 12:1 - 15:13)
1. Utakaso wa maisha yako hupatikana kwa kujitoa kabisa kwake Mungu (Warumi 12:1-2)
2. Usiwe na kiburi, bali umtumikie Bwana wako kwenye makundi ya waumini ukitumia vipawa ulivyojaliwa (Warumi 12:3-8)
3. Tunahitaji kujifunza upendo wa kindugu na kujizoeza sisi wenyewe katika hilo (Warumi 12:9-16)
4. Wapende adui na wapinzani wako (Warumi 12:17-21)

5. Uwe mtiifu kwa mamlaka iliyo juu yako (Warumi 13:1-6)
6. Jumlicho la sheria au amri za kuhusu watu (Warumi 13:7-10)
7. Matokeo halisi kutokana na ufahamu kwamba, Kristo atarudi tena (Warumi 13:11-14)

8. Masumbufu mahususi ya kanisa la Rumi (Warumi 14:1-12)
9. Usimkasirishe jirani yako kwa mambo yasiyo muhimu (Warumi 14:13-23)

10. Jinsi inavyowapasa walio imara kiimani kulinda mwenendo wao wakati wa matatizo ambayo hayakutazamiwa (Warumi 15:1-5)
11. Kristo alishinda tofauti zote kati ya waumini wa Wayahudi na wale waliotokana na Mataifa (Warumi 15:6-13)
Maongezo kwa SEHEMU ya 3 - Maelezo ya pekee juu ya msimamo wa Paulo kwa viongozi wa kanisa la Rumi (Warumi 15:14 – 16:27)
1. Kustahili kwake Paulo kwa kuandika waraka huu (Warumi 15:14-16)
2. Siri ya huduma ya Paulo (Warumi 15:17-21)
3. Matazamio ya Paulo katika safari zake (Warumi 15:22-33)

4. Orodha ya Paulo yenye majina ya watakatifu waliojulikana kwake katika kanisa la Rumi (Warumi 16:1-9)
5. Mwendeleo wa orodha ya Paulo ya watakatifu waliojulikana kwake ndani ya kanisa la Rumi (Warumi 16:10-16)
6. Onyo dhidi ya wadanganyi (Warumi 16:17-20)
7. Salamu kutoka kwa watenda kazi pamoja na Paulo (Warumi 16:21-24)
8. Wimbo wa Sifa ya Paulo, kama sehemu ya kufunga kwa waraka wake (Warumi 16:25-27)

www.Waters-of-Life.net

Page last modified on November 18, 2022, at 12:39 PM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)