Home
Links
Bible Versions
Contact
About us
Impressum
Site Map


WoL AUDIO
WoL CHILDREN


Bible Treasures
Doctrines of Bible
Key Bible Verses


Afrikaans
አማርኛ
عربي
Azərbaycanca
Bahasa Indones.
Basa Jawa
Basa Sunda
Baoulé
বাংলা
Български
Cebuano
Dagbani
Dan
Dioula
Deutsch
Ελληνικά
English
Ewe
Español
فارسی
Français
Gjuha shqipe
հայերեն
한국어
Hausa/هَوُسَا
עברית
हिन्दी
Igbo
ქართული
Kirundi
Kiswahili
Кыргызча
Lingála
മലയാളം
Mëranaw
မြန်မာဘာသာ
नेपाली
日本語
O‘zbek
Peul
Polski
Português
Русский
Srpski/Српски
Soomaaliga
தமிழ்
తెలుగు
ไทย
Tiếng Việt
Türkçe
Twi
Українська
اردو
Uyghur/ئۇيغۇرچه
Wolof
ייִדיש
Yorùbá
中文


ગુજરાતી
Latina
Magyar
Norsk

Home -- Kiswahili -- Yohana
This page in: -- Albanian -- Arabic -- Armenian -- Bengali -- Burmese -- Cebuano -- Chinese -- Dioula -- English -- Farsi -- French -- Georgian -- Greek -- Hausa -- Hindi -- Igbo -- Indonesian -- Javanese -- KISWAHILI -- Kyrgyz -- Malayalam -- Peul -- Portuguese -- Russian -- Serbian -- Somali -- Spanish -- Tamil -- Telugu -- Thai -- Turkish -- Twi -- Urdu -- Uyghur -- Uzbek -- Vietnamese -- Yiddish -- Yoruba

Previous Book? -- Next Book?

YOHANA - Nuru inaangaza gizani

Somo la Injili ya Kristo kufuatana na Mtume Yohana

Jump to Chapter: 01 -- 02 -- 03 -- 04 -- 05 -- 06 -- 07 -- 08 -- 09 -- 10
Jump to Chapter: 11 -- 12 -- 13 -- 14 -- 15 -- 16 -- 17 -- 18 -- 19 -- 20 -- 21

SEHEMU YA 1 - Kuangaza kwa nuru tukufu ya Mungu (Yohana 1:1 - 4:54)
A - Neno la Mungu kufanyika mwili ndani ya Yesu (Yohana 1:1-18)
1. Asili na kazi ya Neno kabla ya kufanyika mwili (Yohana 1:1-5)
2. Mbatizaji anatengeneza njia ya Kristo (Yohana 1:6-13)
3. Ukamilifu wa Mungu ulitokea katika kuzaliwa kwa Kristo mwilini (Yohana 1:14-18)
B - Kristo anaongoza wanafunzi wake kutoka hali ya kutubu kwenye furaha ya karamu ya arusi (Yohana 1:19 - 2:12)
1. Utume kutoka kwa baraza kuu (iitwayo Sanhedrin) unamhoji Mbatizaji (Yohana 1:19-28)
2. Ushuhuda zingine za Mbatizaji za kuvutia sana, za kumhusu Kristo (Yohana 1:29-34)
3. Wanafunzi sita wa kwanza (Yohana 1:35-51)

4. Mwujiza wa kwanza wa Yesu kwenye Arusi ya Kana (Yohana 2:1–12)
C - Kristo kutembelea mara ya kwanza mji wa Yerusalemu (Yohana 2:13 - 4:54) -- Neno Kuu: Kuabudu kwa kweli ni nini?
1. Kutakaswa kwa hekalu (Yohana 2:13-22)
2. Yesu anaongea na Nikodemo (Yohana 2:23 – 3:21)
a) Watu walianza kumwegemea Yesu (Yohana 2:23-25)

b) Haja ya kuzaliwa mara ya pili (Yohana 3:1-13)
c) Msalaba, njia ya kuzaliwa mara ya pili (Yohana 3:14–16)
d) Kumkataa Kristo kunaleta hukumu (Yohana 3:17-21)
3. Mbatizaji anamshuhudia Yesu kama Bwana Arusi (Yohana 3:22–36)

4. Yesu atembelea Samaria (Yohana 4:1–42)
a) Yesu anamwongoza mwanamke mzinzi apate kutubu (Yohana 4:1-26)
b) Yesu awaongoza wanafunzi wake waone mavuno yaliyo tayari (Yohana 4:27-38)
c) Uinjilisti kule Samaria (Yohana 4:39-42)
5. Kumponya mwana wa diwani (Yohana 4:43-54)

SEHEMU YA 2 - Sehemu ya pili: Nuru inang’aa gizani (Yohana 5:1 - 11:54)
A - Safari ya pili kwenda Yerusalemu (Yohana 5:1-47) -- Neno Kuu: Kutokea kwa uadui kati ya Yesu na Wayahudi
1. Kumponya aliyepooza kwenye birika la Bethzatha (Yohana 5:1-16)
2. Mungu afanya kazi na Mwana wake (Yohana 5:17-20)
3. Kristo afufua wafu na atahukumu ulimwengu (Yohana 5:20-30)
4. Shuhuda nne juu ya Uungu wa Kristo (Yohana 5:31-40)
5. Sababu ya kutokuamini (Yohana 5:41-47)

B - Yesu ni chakula cha (mkate wa) uzima (Yohana 6:1-71)
1. Kuwalisha watu elfu tano (Yohana 6:1-13)
2. Yesu anajiondolea kwenye kelele ya kutaka kumfanya awe mfalme (Yohana 6:14-15)
3. Yesu anawafikia wanafunzi wake wakiwa taabuni (Yohana 6:16-21)
4. Yesu anawapa watu chaguo: “Kubali au kataa!” (Yohana 6:22-59)
5. Kupepetwa kwa wanafunzi (Yohana 6:59-71)

C - Safari ya mwisho ya Yesu kwenda Yerusalemu (Yohana 7:1 - 11:54) Neno Kuu: Kutenganisha giza na nuru
1. Maneno ya Yesu kwenye sikukuu ya Vibanda (Yohana 7:1 - 8:59)
a) Yesu na ndugu zake (Yohana 7:1-13)
b) Maoni tofauti tofauti juu ya Yesu kati ya watu na kwenye Baraza Kuu (Yohana 7:14-53)

c) Wanasheria wamleta mwanamke mzinzi kwake Yesu ahukumiwe (Yohana 8:1-11)
d) Yesu, nuru ya ulimwengu (Yohana 8:12-29)
e) Dhambi ni utumwa (Yohana 8:30-36)
f) Ibilisi, mwuaji na mwongo (Yohana 8:37-47)
g) Kristo yupo na alikuwepo kabla ya Ibrahimu (Yohana 8:48-59)

2. Kumponya mtu aliyezaliwa kipofu (Yohana 9:1-41)
a) Kuponya siku ya Sabato (Yohana 9:1-12)
b) Wayahudi wanamhoji yule aliyeponywa (Yohana 9:13-34)
c) Yesu ajifunua kuwa Mwana wa Mungu kwa yule mponywa (Yohana 9:35-41)

3. Yesu, Mchungaji Mwema (Yohana 10:1-39)
a) Kondoo husikia sauti ya mchungaji wa kweli (Yohana 10:1-6)
b) Yesu ndiye mlango hasa (Yohana 10:7-10)
c) Yesu ndiye Mchungaji Mwema (Yohana 10:11-21)
d) Usalama wetu ndani ya umoja wa Baba na Mwana (Yohana 10:22-30)
e) Mwana wa Mungu ndani ya Baba, naye Baba ndani yake (Yohana 10:31-39)

4. Kumfufua Lazaro na matokeo yake (Yohana 10:40 - 11:54)
a) Yesu akiwa ng’ambo ya Yordani (Yohana 10:40 - 11:16)
b) Yesu akutana na Martha na Mariamu (Yohana 11:17-33)
c) Kumfufua Lazaro (Yohana 11:34-44)
d) Baraza la Wayahudi walimhukumu Yesu afe (Yohana 11:45-54)

SEHEMU YA 3 - Nuru yang’aa ndani ya shirika la Mitume (Yohana 11:55 - 17:26)
A - Utangulizi kwa Juma Takatifu (Yohana 11:55 - 12:50)
1. Yesu kupakwa mafuta Bethania (Yohana 11:55 - 12:8)
2. Yesu aingia Yerusalemu (Yohana 12:9-19)
3. Wayunani walitafuta kumfahamu Yesu (Yohana 12:20-26)
4. Baba alitukuzwa katikati ya fujo (Yohana 12:27-36)
5. Watu huendelea kuwa wagumu wenyewe wakielekea hukumuni (Yohana 12:37-50)

B - Mambo yaliyofuatana na chakula cha Bwana (Ushirika utakatifu) (Yohana 13:1-38)
1. Yesu aosha miguu ya wanafunzi wake (Yohana 13:1-17)
2. Msaliti anawekwa wazi na kuharakishwa (Yohana 13:18-32)
3. Agizo mpya kwa ajili ya Kanisa (Yohana 13:33-35)

4. Kristo anatabiri jambo la kukana kwa Petro (Yohana 13:36-38)
C - Hotuba ya kuaga kwenye chumba cha orofani (Yohana 14:1-31)
1. Mungu yupo ndani ya Kristo (Yohana 14:1-11)
2. Utatu utakatifu huwashukia waumini kwa njia ya Mfariji (Yohana 14:12-25)
3. Amani ya Kristo ya kuaga (Yohana 14:26-31)

D - Kuagana njiani kwenda Gethsemane (Yohana 15:1 - 16:33)
1. Kudumu ndani ya Kristo kunaleta matunda mengi (Yohana 15:1-8)
2. Kudumu kwetu ndani ya ushirikiano na Baba huonekana katika upendano kati yetu sisi na yeye (Yohana 15:9-17)
3. Ulimwengu humchukia Kristo na wanafunzi wake (Yohana 15:18 - 16:3)

4. Roho Mtakatifu hufunua maendeleo ya ajabu kabisa katika historia (Yohana 16:4-15)
5. Kristo alitoa habari mbele kuhusu furaha ya wanafunzi kwenye sikukuu ya ufufuo (Yohana 16:16-24)
6. Amani ya Kristo ndani yetu inashinda taabu za dunia (Yohana 16:25-33)

E - Maombezi ya Yesu (Yohana 17:1-26)
1. Utangulizi kwa sala za kutuombea
2. Sala kwa ajili ya utukufu wa Baba (Yohana 17:1-5)
3. Yesu anaombea mitume wake (Yohana 17:6-19)
4. Yesu anaombea umoja wa kanisa (Yohana 17:20-26)

SEHEMU YA 4 - Nuru Inashinda Giza (Yohana 18:1 - 21:25)
A - Matokeo kuanzia kukamatwa kwake Yesu hadi kuzikwa kwake (Yohana 18:1 - 19:42)
1. Yesu ankamatwa bustanini (Yohana 18:1-11)
2. Yesu anahojiwa mbele za Anasi na kukana kwake Petro mara tatu (Yohana 18:15-27
3. The civil trial before the Roman governor (Yohana 18:28 – 19:16)
a) Shtaki dhidi ya dai ya Kristo kuwa mfalme (Yohana 18:28-38)
b) Uchaguzi kati ya Yesu na Baraba (Yohana 18:39-40)

c) Kupigwa kwake Yesu mbele za washitaki wake (Yohana 19:1-5)
d) Pilato aliogofya kwa hali tukufu ya Kristo (Yohana 19:6-11)
e) Pilato kutamka hukumu bila haki juu ya Yesu (Yohana 19:12-16)
4. Msalaba na kifo cha Yesu (Yohana 19:16b-42)
a) Usulibisho na mavazi ya mazishi (Yohana 19:16b-22)
b) Kugawana nguo za Yesu na kupiga kura (Yohana 19:23-24)
c) Tamko la Kristo kwa mama yake (Yohana 19:25-27)
d) Ukamilisho (Yohana 19:28-30)
e) Kuchoma ubavu wa Yesu (Yohana 19:31-37)
f) Kuzikwa kwake Yesu (Yohana 19:38-42)

B - Ufufuo na kutokea kwake Kristo (Yohana 20:1 - 21:25)
1. Matukio siku ya Pasaka asubuhi (Yohana 20:1-10)
a) Mariamu Magdalene akiwa karibu na kaburi (Yohana 20:1-2)
b) Petro na Yohana wanakimbia haraka kaburini (Yohana 20:3-10)
c) Yesu anamtokea Mariamu Magdalene (Yohana 20:11-18)
2. Yesu awatokea wanafunzi wake kwenye chumba cha orofani (Yohana 20:19-23)
3. Yesu awatokea wanafunzi wake pamoja na Tomaso (Yohana 20:24-29)
4. Mwisho wa Injili ya Yohana (Yohana 20:30-31)

5. Yesu atokea kando ya ziwa (Yohana 21:1-25)
a) Mwujiza wa kuvua samaki wengi (Yohana 21:1-14)
b) Petro athibitishwa katika huduma ya kundi (Yohana 21:15-19)
c) Yesu kutabiri habari ya mambo ya mbeleni (Yohana 21:20-23)
d) Ushuhuda wa Yohana na wa Injili yake (Yohana 21:24-25)

www.Waters-of-Life.net

Page last modified on June 29, 2017, at 06:13 PM | powered by PmWiki (pmwiki-2.3.3)